Sunday, December 16, 2007

Unajua kilichotokea katika tuzo ya mwanasoka bora wa dunia wa gazeti la Championi mwaka 2008.


Mratibu wa shindano la mwanasoka bora wa mwaka wa gazeti la Championi 2007, Ahadi Kakore (katikati) akitangaza matokeo ya shindano hilo mbele ya waandishi wa habari hivi karibuni, kushoto ni Mhariri Isaac Kijoti na kushoto ni mhariri Denis Fusi.